Add Listing

FX HEDGING VICTORY

Deriv Signals
Visit Now
  • Viewed - 3
  • Bookmark - 0

Telegram Description

We are always here to serve you better and we are helping you to become a profitable trader. Verified Local Deriv Agent. Come and Trade your way to Success. Learn and Earn Deposit and Withdraw via Deriv, Skrill and JustMarket.

Latest Channel Posts

Channel Image
TRADING TALK

Haijalishi ni kwa muda gani umekua trader, ni muhimu kutafakari strategy yako kila baada ya muda fulani.

Ukiwa newbie changamoto kubwa inakua hujui uanzie wapi. Lakini kama trader ambae una uzoefu wa muda fulani ni muhimu angalia namna ya kuimprove skills zako na hasa strategy yako.

Kuna baadhi ya trader wanadhani trading inatakiwa iwe inatisha au njia ambayo wanaelewa wao tu, lakini traders waliofanikiwa wana strategies ambazo pengine wengine wote mnafahamu lakini hakukua na utulivu wa kuchukua muda kuwa nayo wakati wote (wakati wa loss na wakati wa faida). Kuna mabadiliko kadhaa kila mtu anaweza fanya sababu soko pia linabadilika lakini msingi unakua ni ule ule.

Kabla hatujaenda mbali, Tuangalie strategy ni nini, na kwa nini unahitaji kuwa na strategy.

Ni kawaida kwa newbies kufungua akaunti, kuweka mtaji na kuanza kubuy na kusell lakini mwisho wa siku wanachoma akaunti.

Sababu kubwa inayofanya wapoteze ni nini?

Newbies hawachukui muda kujifunza soko linavyoenda kabla hawajaplace orders. Hawana strategy kwa ajili ya kutengeneza smart na informed trades.

Na kama unakuja kwenye soko bila strategy, kwa kifupi unacheza kamali. Strategy is key.

Kwenye hii biashara strategy yako inahusisha trading setups. Unafanya research kutambua muda gani wa kuingia sokoni, sehemu gani ya kuweka stop loss. Na unakuwa na mpango unaoeleweka wa nini cha kufanya kama trade itaenda upande wako au isipoenda upande wako na hela inavyopotea mbele ya macho yako.

Trader wapya huwa wanaangalia shortcuts. Wanajua kuwa trader huwa wanapata loss. Hivyo wanataka wao wanavyoingia sokoni wawe smart kuliko waliopo wanaopata loss. Wanatafuta strategy ambayo wao wanadhani ni best na hasa kupitia matangazo ya kwenye mitandao ya kijamii kwa kuamini wao wapo upande salama wa kutengeneza faida haraka na kuwaacha hawa wengine wanaohisi ni wajinga waendelee kupata loss.

Ila ukweli ni kwamba hakuna strategy ambayo ni best kwa beginner au kwa trader yoyote hata kama yupo kwenye trading miaka 5.

Soko linabadilika, watu wanabadilika. Hii inamaanisha strategy fulani itafanya kazi katika mazingira fulani ya soko na aina fulani ya pair. Na pengine jambo la msingi ni kwamba strategy fulani inamfaa mtu binafsi.

Hii ni kwa sababu ya aina ya maisha (lifestyle), majukumu ya kila siku, na mindset yako au saikolojia yako.

Hivyo unavyochagua strategy, do your research, na hakikisha umezingatia nini ambacho kitafanya kazi kwako.

Kila baada ya muda fulani soko linabadilika. Hii inamaanisha kama smart trader unatakiwa kuwa na mabadiliko kadhaa kwenye strategy unayotumia.

Jambo zuri ni kuwa kuna mambo ya msingi ambayo yatakusaidia katika kuunda strategy ambayo itakunufaisha sokoni. Hapa chini nimekuandalia vitu 7 vya msingi vitavyobeba strategy yako yenye mafanikio:

1. MUDA WA KUANGALIA CHART.

Trader ambao wanakaa mbele ya screen zao muda wote utagundua wana trades nyingi zinarun au wanaplace order nyingi sokoni.

Hii ni hatari kwa uzima wa akaunti yako, unapokua unafuatisha kila movement kwenye timeframe tofauti ni rahisi sana kukuchanganya na ukajikuta umefanya maamuzi kwa mihemko.

Binafsi natrade kwenye 2 hrs na 4 hrs. Hivyo nafungua chart yangu kila baada ya masaa mawili na masaa manne baada ya 2HRS na 4hrs kufunga. Hii inanisaidia kunipa taarifa ya nini kimefanyika na nafanya maamuzi kulingana na price action niliyoina ndani ya masaa mawili au manne. Inanisaidia kuepuka noise zote za 15m, 30m na 1hr na napata bigger picture baada ya masaa 2 au 4.

Sasa kulingana na strategy yako unayotumia, jaribu kuepuka kuangalia chart muda wote. Kwa newbies wanadhani kwa kufanya hivyo ndio kuwork hard. Kwenye trading hatuna work hard, tuna work smart. Hivyo hakikisha unakuwa smart na kutafuta njia za kuwa smart kila siku kuliko jana.

2. TRADING PLAN NA KUIZINGATIA

Think kuhusu kujenga nyumba, unakua na ramani. Unajipanga kwa ujenzi, ikijumuisha unajenga wapi, vitu unavipata wapi, na ni kwa muda gani unataka umalize ujenzi.

Kuwa smart trader ni kupanga kabla hujaanza kutrade.
2025-04-05T06:43:10+00:00
Channel Image
BUY V25 NOW
2024-04-02T11:30:10+00:00
Channel Image
We always win
2024-04-02T10:51:21+00:00
Channel Image
We always win
2024-04-02T10:51:11+00:00
Channel Image
Sell V25
2024-04-02T09:46:11+00:00
Channel Image
Closed some positions at SL and I’m holding the rest. I want to see if it can go above 262.5.
2024-04-02T09:46:10+00:00

GPT Description

Related Video

No video available.

Item Reviews - 0

No reviews yet.

Add Review

Location for : Listing Title