TRADING TALK
Haijalishi ni kwa muda gani umekua trader, ni muhimu kutafakari strategy yako kila baada ya muda fulani.
Ukiwa newbie changamoto kubwa inakua hujui uanzie wapi. Lakini kama trader ambae una uzoefu wa muda fulani ni muhimu angalia namna ya kuimprove skills zako na hasa strategy yako.
Kuna baadhi ya trader wanadhani trading inatakiwa iwe inatisha au njia ambayo wanaelewa wao tu, lakini traders waliofanikiwa wana strategies ambazo pengine wengine wote mnafahamu lakini hakukua na utulivu wa kuchukua muda kuwa nayo wakati wote (wakati wa loss na wakati wa faida). Kuna mabadiliko k